Sio mbaya lakini Ahmad umechemka sio kapepo chako wewe ulikuwa useme kale kapepo chake mganga wake ndo mie Sasa itakuwaje kapepo chako pia mganga uwe mwenyewe hapo feld kaka
mimi sizani kama huyu mwanaume kafanya vizri kwa sababu huyu ni rijali anategemewa mbona huyu mwanaume anamzuka kuliko hawa watoto wa kike majabu kweli allah atuongoze kwa kwli ila badilika kaka
26 Comments
Ndo wa mwanz kuwek comment 😅😅😅😅 maashaallah twende kaz
Mashalla kasida nzuri mungu awazidishie kupaj chenu
Sio mbaya lakini Ahmad umechemka sio kapepo chako wewe ulikuwa useme kale kapepo chake mganga wake ndo mie Sasa itakuwaje kapepo chako pia mganga uwe mwenyewe hapo feld kaka
Mashaallah ❤ hunaga kazi mbaya kipenzi cha mimi
Bnt Juma na wenzako ushirikiano wenu Ufanisi wenu unavutia ww no 1.
Ahmadi weeeeee unabalaa mzito ww kiumbe huna baya kwangu
🔥🔥🔥
taam vooo ..mashllh ..ujumb pia ila AHMAD anawahaka hahaha😀😀😀
🎉🎉🎉
Aloooo😅 Ahmad wangu huna baya Asha wangu umejua kuniwakilisha 😂😂😂 sio siri haka ka qaswda katamu nyie 🤣😘😘😘😘
nice🎉
Hongereni sannnnnaaaaaaa ❤
umependeza sana ❤ broo wangu mmmwaaaaah ❤
We asha ilenamba unayo weka kwenye video mbna haipatikani mi Nina shida na wewe
Good joj
Good job
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongereni sn👏🏻👏🏻👏🏻
mimi sizani kama huyu mwanaume kafanya vizri kwa sababu huyu ni rijali anategemewa mbona huyu mwanaume anamzuka kuliko hawa watoto wa kike majabu kweli allah atuongoze kwa kwli ila badilika kaka
mbona ovo huyu mwaume
Vp asha mbona unazidi kunenepa tu kwema lkn mwenzangu
Hee
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Ukhty Asha hongera na team yako
Nakupnda bure walh
Ahmad unafurahisha